
Bonyeza hapa ili kuangalia mambo yalivyokwenda kwenye Red Carpet.
Nilichokipenda zaidi katika awards za mwaka huu ni kwamba kwa mara ya kwanza People’s Choice Awards zinachangia mradi wa Maji Safi kwa ajili ya watoto.Kwa kiingereza mradi huo unaitwa Children Safe Drinking Water. Celebrities wanapanda Mlima Kilimanjaro(nakumbusha Mlima upo Tanzania!) kwa ajili ya kuchangisha fedha. Tizama zaidi kuhusu mradi huu kutoka kwenye tovuti maalumu ya mradi huo.
Pichani juu ni Queen Latifah ambaye ndiye alikuwa Host kwa mwaka huu. As usual,I think she did a good job!
No comments:
Post a Comment
toa maoni yako kadri uwezavyo.