Pata habari mbalimbali za Kitaifa,Kimataifa,Michezo na Burudani Kupitia blog yako ya ukweli na uhakika BORN IN DAR

Jiwe kali wiki hii! C pwaa-Mmhh! (HD)

Saturday, January 23, 2010

C-PWAA…WHAT HAPPENED?

Pichani ni Ilunga Khalifa (CP) au kwa wengi C-Pwaa. Ana style ya kipekepekee hivi Bongo. Kuna wakati C-Pwaa alikuwa anablog kwa kutumia simu yake(mobile blogging).Yeye alikuwa msanii wa kwanza kuamua kuanzisha blog. Sina uhakika kwanini aliacha kwani kwa muda sasa blog yake imekuwa parking lot.What happened C-Pwaa?

No comments:

Post a Comment

toa maoni yako kadri uwezavyo.